Yesu

Kabla ya muda haujakuwepo Mungu alikuwepo. Aliumba dunia na kila kitu kilichomo. Katika upendo wake, Mungu akaumba mwanadamu kwa sura yake mwenyewe akawaweka kwenye bustani nzuri. Wanadamu hawakutii maelekezo ya Mungu. Kutokutii huku kulikuwa ni dhambi iliyowatenganisha mbali na Mungu. Aliwaambia kwamba wanapaswa kutoa dhabihu za wanyama wadogo wasio na madoa yoyote kwa ajili ya dhambi zao. Dhabihu hizi hazikulipia dhambi zao bali zilielekeza dhabihu ya mwisho ambayo Mungu angetoa. Siku moja Mungu angetuma mwanawe Yesu duniani awe dhabihu ya mwisho.

Arabic Bengali Cebuano Dutch English French Haitian Creole Hindi Indonesian Japanese Kazakh Khmer Korean Lingala Nepali (Macrolanguage) Norwegian Persian Portuguese Rundi Russian Southern Sotho Spanish Swedish Tajik Thai Urdu Vietnamese Waray (Philippines)

23 Septemba 2025 in  Yesu, Color 3 minutes

Je, wajua kwamba kuna mtu ambaye hujua yote juu yako? Ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo. Yesu, Mwana wa Mungu, pia hujua yote ambayo umeshafanya. Yeye hujua yaliyopita, ya leo, na yajayo. Yeye anakupenda na alikuja ulimwenguni kukuokoa kutoka dhambini. Anao mpango wa uzima wako ili kukuletea furaha. Siku moja Yesu alikuwa akitembea na rafiki zake alifikia kijiji cha Samaria. Yesu alikaa kando ya kisima wakati rafiki zake walienda kununua chakula. Yesu alipokuwa amekaa pale, mwanamke mmoja alikuja kuteka maji kisimani. Yesu alimwambia, “Naomba unipe maji ninywe.”

Arabic Bengali Cebuano Chinese Dutch English French German Haitian Creole Hindi Indonesian Italian Japanese Kazakh Khmer Kinyarwanda Korean Lingala Mossi Nepali (Macrolanguage) Norwegian Oromo Persian Plautdietsch Portuguese Punjabi Rundi Russian Southern Sotho Spanish Swedish Tajik Telugu Thai Turkish Vietnamese Waray (Philippines)

22 Machi 2019 in  Yesu, Upendo, Injili 3 minutes

Je, wewe ni mwenye furaha? Au hofu na hatia huondoa furaha yako yote? Je, ungetamani kuondoa hatia yako, lakini hujui kwa njia gani? Huenda unajiuliza, “Je, nitawahi kuwa mwenye furaha tena?” Ninayo habari njema kwa ajili yako. Kuna Mmoja awezaye kukusaidia, kusamehe dhambi zako, na kukupa furaha ya daima. Jina lake ni Yesu. Ngoja nikuambie habari zake. Mungu ndiye mwenyewe aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo. Alikuumba wewe na mimi.

Arabic Bemba (Zambia) Bengali Cebuano Chinese Dutch English French German Haitian Creole Hindi Indonesian Italian Japanese Kazakh Khmer Kinyarwanda Korean Lingala Malagasy Mongolian Mossi Nepali (Macrolanguage) Norwegian Persian Plautdietsch Polish Portuguese Rundi Russian Southern Sotho Spanish Swedish Tajik Telugu Thai Turkish Urdu Vietnamese Waray (Philippines)

22 Machi 2019 in  Yesu 3 minutes

Yesu Rafiki Yako Ninaye rafiki. Yeye ndiye rafiki bora ambaye nimewahi kujua. Yeye ni mwema sana na mkweli ambaye na wewe pia ningependa umfahamu. Jina lake ni Yesu. Cha kustajaabisha ni kwamba na yeye angependa awe rafiki yako. Ngoja nikuambie habari zake. Tunasoma hadithi hii katika Biblia. Biblia ni kweli. Ni neno la Mungu. Mungu ndiye aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo. Yeye ni Bwana wa Mbinguni na dunia. Anatoa uzima na pumzi kwa viumbe vyote.

Amharic Arabic Assamese Bemba (Zambia) Bengali Cebuano Chinese Dutch English Ewe French German Haitian Creole Hindi Indonesian Japanese Karbi Kazakh Khmer Kinyarwanda Korean Lingala Malagasy Mongolian Mossi Nepali (Macrolanguage) Norwegian Nyanja Oromo Persian Plautdietsch Polish Portuguese Punjabi Rundi Russian Southern Sotho Spanish Swedish Tajik Telugu Thai Tonga (Zambia) Turkish Ukrainian Uzbek Vietnamese Waray (Philippines)

22 Machi 2019 in  Yesu, Upendo, Urafiki, Upweke 2 minutes